Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, amewataka viongozi wa Wilaya na Halmashauri ya Longido mkoani Arusha kuwasimamia watumishi wa Wilaya hiyo ili wawe na maadili na nidhamu na kuwachukulia hatua pale watumishi hao wanaopokosea. Mhe. Rais Samia ametoa maagizo hayo tarehe 18 Oktoba, 2021 wakati akihutubia wananchi wa Longido katika
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed